Chumba cha hoteli ambacho Rose Ndauka alinaswa akiingia na dogo Nasry ambaye ni msanii wa bongo fleva, kimekutwa na kondomu tano zilizotumia...
Rose Ndauka ambaye ni mchumba wa Malik Bandawe, wiki iliyopita alinaswa akiingizwa katika chuba hicho na msanii Nassoro Ayoub "Nasry".
"Mimi ndiye niliyefanya usafi chumba namba G17 siku hiyo na nilikuta kondomu tano zilizotumika huku shuka zikiwa zimevurugika kabisa."..Alifunguka mfanya usafi huyo
Tukio la binti huyu kunaswa akiingizwa hotelini na dogo Nasry linatia shaka uchumba wake na Malik Bandawe ambaye kwa kipindi kirefu wamekuwa wakitangaza mipango yao ya kufunga ndoa.
0 comments:
Post a Comment