Tuesday, July 1, 2014

Hivi punde Belgium Vs USA...


Hivi ndivyo Makocha wa kila timu alivyo panga kikosi chake kukabiliana na mpinzani wake.

Kila timu inahitaji kuendelea mbele ya mashindano haya, Je ni Belgium ama USA watakao endelea mbele ya mashindano haya ( Robo fainali )?

Usikose mtanange huu.....

0 comments:

Post a Comment