Wednesday, July 31, 2013
NIDA yaendelea na zoezi la utoaji wa Vitambulisho vya Taifa
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) hivi sasa inaendesha zoezi la uchukuaji wa alama za vidole, kuweka saini za kielektroniki na kuwapiga picha wakazi wa jiji la Dar es Salaam ikianzia wilaya ya Temeke. Hivi sasa zoezi hili linafanyika katika Kata za Charambe, Kiburugwa, Mbagala Kuu, Taangoma na Kijichi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment