![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwPnjU12T9NPZ5q-ZVZNffVna2fUqH6SHBuu_Fq1lFC1zKV0OVspipRH-OjQLlr5S92W_7yr-mAblMzT7i01qpUPqquoRksaBcrIr8-ut4Tqg47Jmg4wZv8e1dDS_yF_5-V9g1dc4GTrZy/s1600/1.gif)
Rais Jakaya Kikwete, mkewe Mama Salma, wakitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yenye miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWWzTf4Kv_qa0GIp5OYJR7fxnZ00OfvPL7SRd4GY6sJKRr-Tk1cajk-s8NA92ZIMewl_2qWi_uurV8M_gOFBRJ55-a6McPBkARyZDYGzC7UAj2bY_7mpUjbvoB2pjsASjj90CJgsNxlX2r/s1600/02.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yenye miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPuDwuEHICiCNx_9RTZ4L2UEUp_XZsqyofsMteBtEtgvVFV94OGkt7HcNakhZ7NBpsE-cI_Z0iEhTNs7HSmwjZ-SWsTtOdHcWLAJ5BUMOsJWQmVaSnPwkgaMKoO9CxnTblH6ffTNKuQjHv/s1600/2.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akitia saini katika Kitabu cha Maombolezo ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla, wakati Rais na viobgozi wengine walipofika kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEij9hojoShTwW0Um8GsSur1DXeRrgNEXQ1UoSdNmJzrM3MVevvlMK3DhUPcM3TovUvmUQiIQ_w1xDwmK7RUGKeqPG9V9-_amt25rRqR-6wKSe0yMjnjuDAzn5vzg-nbxakwhIMmDSaa-l97/s1600/1.jpg)
Makamu wa Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika Kitabu cha Maombolezo ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla, wakati Makamu na viobgozi wengine walipofika kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, John Nchimbi akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, wakati wakiwa katika shughuli hiyo ya kuaga miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla. Kulia ni Katibu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEip_Wnk_f9Pf-eVnzWTG-pcs3-B47dwpSDbanjlDufFyYlbL0yZJbWyCnnG3VhSP-rJrMjOOUT_nkcFJbXiUxB9wLFXEClzKP4LDXmLVutOXYDQqs9Grmsh2rdrI7DrZ8fMyaEHBCUJJN_l/s1600/4.jpg)
Hapo chini ni miili ya wanajeshi hao.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwuC5g1hEhe38D9trnuRJ6ZZZSlfZzqFCsdTKDsbMdxT2mkChXZYAsMbJAd8reKrprtt74X909YCpsz6g_QpWhM8H2TKaN_auAbotUKE6R6hm50PpDACItfKHtkJf1i-FhE4r_i-8u_lXD/s640/9.jpg)
0 comments:
Post a Comment