Monday, July 22, 2013

Ziara ya Waziri Mkuu Pinga - Mbinga


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiendesha pikipiki wakati alipozindua  Mradi wa Pikipiki wa Kikundi cha SACCOS ya vijana wa Mbinga kwenye uwanja wa CCM mjini Mbinga  akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 21, 2013.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapongeza baadhi ya waendesha pikipiki wa Mbinga baada ya kuzindua  mradi wa pikipiki za kikundi cha SACCOS ya vijana wa Mbinga kwenye uwanja wa Mpira wa CCM mjini Mbinga akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 21, 2013.   


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua mradi wa kupeleka   umeme  Mbambabay  katika wilaya mpya ya Nyasa  kutoka kwenye kituo cha kuzalisha umeme cha Mbinga akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 21, 2013. Kulia ni Mkewe Tunu na Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Thabiti Mwambungu. Watatu Kulia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini Stephen Masele.

Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

0 comments:

Post a Comment