Saturday, August 3, 2013

Breaking News: Hatimaye Mugabe aibuka kidedea


Rais Robert Mugabe ameshinda kwa mara ya saba, maafisa wanasema, huku kukiwa na madai ya udanganyifu katika uchaguzi.

Bw Mugabe,  ameshinda asilimia 61% ya kura, dhidi ya Waziri Mkuu Morgan Tsvangirai mwenye asilimia 34%.

Bw Tsvangirai amesema uchaguzi haukua wa haki na kulikua na udanganyifu mwingi.Na pia anesema MDC hawata shilikiana na Zanu-PF ,pia wanajiandaa kwenda mahakamani..

0 comments:

Post a Comment