Saturday, August 3, 2013
Breaking News: Hatimaye Mugabe aibuka kidedea
Rais Robert Mugabe ameshinda kwa mara ya saba, maafisa wanasema, huku kukiwa na madai ya udanganyifu katika uchaguzi.
Bw Mugabe, ameshinda asilimia 61% ya kura, dhidi ya Waziri Mkuu Morgan Tsvangirai mwenye asilimia 34%.
Bw Tsvangirai amesema uchaguzi haukua wa haki na kulikua na udanganyifu mwingi.Na pia anesema MDC hawata shilikiana na Zanu-PF ,pia wanajiandaa kwenda mahakamani..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment