Tuesday, July 1, 2014

Usikose mtange huu.....


Ni baada ya Uswizi kutupwa nje ya mshindano hayo na timu ya Argentina kwa bao moja bila majibu. Mtanange huo ulimalizika katika dakika zote tisini bila kumpata mbabe na ndipo timu ya Argentina kupitia kwa mchezaji wake DI MARIA ilipata goli la kwanza na la ushindi katika dakika thelathini za nyongeza.

Saa tano kutakupa na pambano kati ya Belgium na USA. Je ni nani kati ya timu hizi mbili atafuzu kwenda Robo finali?

Toa comments zako juu ya mtanange huu.

0 comments:

Post a Comment